Skip to content
Luka 22:28-30

Luka 22:28-30

28
Ninyi mmekuwa pamoja nami katika majaribu yangu.
29
Nami kama Baba yangu alivyonipa ufalme, kadhalika mimi nami ninawapa ninyi,
30
ili mpate kula na kunywa mezani pangu katika karamu ya ufalme wangu, na kukaa katika viti vya enzi, mkihukumu makabila kumi na mawili ya Israeli.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options