Skip to content
Luka 21:27-28

Luka 21:27-28

27
Wakati huo ndipo watakapomwona Mwana wa Adamu akija mawinguni pamoja na uweza na utukufu mkuu.
28
Mambo haya yatakapoanza kutendeka, simameni na mkaviinue vichwa vyenu, kwa sababu ukombozi wenu umekaribia.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options