Luka 20:37-38
37
Hata Mose alidhihirisha kuwa wafu wanafufuka, kwa habari ya kile kichaka kilichokuwa kikiwaka moto bila kuteketea, alipomwita Bwana, ‘Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaki, na Mungu wa Yakobo.’
38
Yeye si Mungu wa wafu, bali wa walio hai, kwa kuwa kwake wote ni hai.”