Skip to content
Luka 20:34-36

Luka 20:34-36

34
Yesu akawajibu, “Katika maisha haya watu huoa na kuolewa.
35
Lakini wale ambao wamehesabiwa kwamba wanastahili kupata nafasi katika ulimwengu ule na katika ufufuo wa wafu, hawaoi wala hawaolewi.
36
Hawa hawawezi kufa tena, kwa maana wao ni kama malaika. Wao ni watoto wa Mungu, kwa sababu ni watoto wa ufufuo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options