Skip to content
Luka 2:6-7

Luka 2:6-7

6
Wakiwa Bethlehemu, wakati wa Maria wa kujifungua ukawa umetimia,
7
naye akamzaa mwanawe, kifungua mimba. Akamfunika nguo za kitoto na kumlaza katika hori ya kulia ngʼombe, kwa sababu hapakuwa na nafasi katika nyumba ya wageni.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options