Skip to content
Luka 2:51-52

Luka 2:51-52

51
Ndipo akashuka pamoja nao hadi Nazareti, naye alikuwa mtiifu kwao. Lakini mama yake akayaweka moyoni mwake mambo haya yote.
52
Naye Yesu akakua katika hekima na kimo, akimpendeza Mungu na wanadamu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options