Skip to content
Luka 2:48-50

Luka 2:48-50

48
Yosefu na Maria mama yake walipomwona walishangaa. Mama yake akamuuliza, “Mwanangu, mbona umetufanyia hivi? Tazama, mimi na baba yako tumekuwa tukikutafuta kwa wasiwasi mkubwa kila mahali.”
49
Yesu akawaambia, “Kwa nini kunitafuta? Hamkujua kwamba imenipasa kuwa katika nyumba ya Baba yangu?”
50
Lakini wao hawakuelewa maana ya lile alilowaambia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options