Skip to content
Luka 19:8-10

Luka 19:8-10

8
Lakini Zakayo akasimama na kumwambia Bwana, “Tazama, Bwana! Sasa hivi nusu ya mali yangu ninawapa maskini, nami kama nimemdhulumu mtu yeyote kitu chochote, nitamrudishia mara nne ya hicho kiwango.”
9
Ndipo Yesu akamwambia, “Leo, wokovu umeingia nyumbani humu, kwa sababu huyu naye ni mwana wa Abrahamu.
10
Kwa maana Mwana wa Adamu amekuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options