Skip to content
Luka 19:1-4

Luka 19:1-4

1
Yesu akaingia Yeriko, naye alikuwa anapita katikati ya huo mji.
2
Tazama, palikuwa na mtu mmoja mkuu wa watoza ushuru naye alikuwa tajiri, jina lake Zakayo.
3
Yeye alikuwa akijitahidi kumwona Yesu ni mtu wa namna gani. Lakini kutokana na umati mkubwa wa watu hakuweza kwa sababu alikuwa mfupi wa kimo.
4
Kwa hiyo akatangulia mbio mbele ya umati wa watu akapanda juu ya mkuyu ili amwone Yesu, kwa sababu angeipitia njia ile.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options