Skip to content
Luka 18:6-8

Luka 18:6-8

6
Bwana akasema, “Sikilizeni asemavyo huyu hakimu dhalimu.
7
Je, Mungu hatawatendea haki wateule wake wanaomlilia usiku na mchana? Je, atakawia kuwasaidia?
8
Ninawaambia, atawapatia haki upesi. Lakini je, Mwana wa Adamu atakapokuja ataikuta imani duniani?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options