Skip to content
Luka 18:38-39

Luka 18:38-39

38
Akapaza sauti, akasema, “Yesu, Mwana wa Daudi, nihurumie!”
39
Wale waliokuwa wametangulia mbele wakamkemea, wakamwambia akae kimya. Lakini yeye akapaza sauti zaidi, “Mwana wa Daudi, nihurumie!”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options