Skip to content
Luka 17:15-19

Luka 17:15-19

15
Mmoja wao alipoona kwamba amepona, akarudi kwa Yesu, akimsifu Mungu kwa sauti kuu.
16
Akajitupa miguuni mwa Yesu akamshukuru. Yeye alikuwa Msamaria.
17
Yesu akauliza, “Je, hawakutakaswa wote kumi? Wako wapi wale wengine tisa?
18
Hakuna hata mmoja aliyeonekana kurudi ili kumshukuru Mungu isipokuwa huyu mgeni?”
19
Yesu akamwambia, “Inuka na uende zako, imani yako imekuponya.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options