Skip to content
Luka 17:12-14

Luka 17:12-14

12
Alipokuwa akiingia kwenye kijiji kimoja, watu kumi waliokuwa na ukoma wakakutana naye. Wakasimama mbali,
13
wakapaza sauti, wakasema, “Yesu, Bwana, tuhurumie!”
14
Alipowaona akawaambia, “Nendeni mkajionyeshe kwa makuhani.” Nao walipokuwa njiani wakienda, wakatakasika.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options