Skip to content
Luka 14:13-14

Luka 14:13-14

13
Bali ufanyapo karamu, waalike maskini, vilema na vipofu,
14
nawe utabarikiwa kwa sababu hawa hawana uwezo wa kukulipa. Mungu atakulipa wakati wa ufufuo wa wenye haki.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options