Skip to content
Luka 12:57-59

Luka 12:57-59

57
“Kwa nini hamwamui wenyewe lililo haki?
58
Uwapo njiani na mshtaki wako kwenda kwa hakimu, jitahidi kupatana naye mkiwa njiani. La sivyo, atakupeleka kwa hakimu, naye hakimu atakukabidhi kwa afisa, naye afisa atakutupa gerezani.
59
Nakuambia, hautatoka humo hadi uwe umelipa senti ya mwisho.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options