Skip to content
Luka 12:39-40

Luka 12:39-40

39
Lakini fahamuni jambo hili: Kama mwenye nyumba angalijua saa mwizi atakuja, asingaliiacha nyumba yake kuvunjwa.
40
Ninyi nanyi hamna budi kuwa tayari, kwa sababu Mwana wa Adamu atakuja saa msiyotazamia.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options