Skip to content
Luka 12:35-36

Luka 12:35-36

35
“Kuweni tayari mkiwa mmevikwa kwa ajili ya huduma na taa zenu zikiwa zinawaka,
36
kama watumishi wanaomngojea bwana wao arudi kutoka kwenye karamu ya arusi, ili ajapo na kubisha mlango waweze kumfungulia mara.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options