Skip to content
Luka 12:33-34

Luka 12:33-34

33
Uzeni mali zenu mkawape maskini. Jifanyieni mifuko isiyochakaa, mkajiwekee hazina mbinguni isiyokwisha, mahali ambapo mwizi hakaribii wala nondo haharibu.
34
Kwa sababu mahali hazina yako ilipo, hapo ndipo moyo wako utakapokuwa pia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options