Skip to content
Luka 12:2-3

Luka 12:2-3

2
Hakuna jambo lolote lililositirika ambalo halitafunuliwa, au lililofichwa ambalo halitajulikana.
3
Kwa hiyo, lolote mlilosema gizani litasikiwa nuruni. Na kile mlichonongʼona masikioni mkiwa kwenye vyumba vya ndani, kitatangazwa juu ya paa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options