Skip to content
Luka 12:11-12

Luka 12:11-12

11
“Watakapowapeleka katika masinagogi, na mbele ya watawala na wenye mamlaka, msiwe na wasiwasi kuhusu namna mtakavyojitetea au mtakavyosema.
12
Kwa maana Roho Mtakatifu atawafundisha wakati huo huo mnachopaswa kusema.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options