Skip to content
Luka 11:53-54

Luka 11:53-54

53
Yesu alipoondoka huko, walimu wa sheria na Mafarisayo wakaanza kumpinga vikali na kumsonga kwa maswali,
54
wakivizia kumkamata kwa kitu atakachosema ili wamshtaki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options