Skip to content
Luka 11:37-38

Luka 11:37-38

37
Yesu alipomaliza kuzungumza, Farisayo mmoja alimwalika nyumbani mwake kwa chakula. Yesu akaingia na kuketi katika sehemu yake mezani.
38
Yule Farisayo akashangaa kwamba Yesu hakunawa kwanza kabla ya kula.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options