Luka 11:24-25
24
“Pepo mchafu amtokapo mtu, hutangatanga katika sehemu zisizo na maji akitafuta mahali pa kupumzika, lakini hapati. Ndipo husema, ‘Nitarudi kwenye nyumba yangu nilikotoka.’
25
Naye arudipo na kuikuta ile nyumba imefagiliwa na kupangwa vizuri,