Skip to content
Luka 11:11-13

Luka 11:11-13

11
“Je, kuna yeyote miongoni mwenu ambaye mtoto wake akimwomba samaki, atampa nyoka badala yake?
12
Au mtoto akimwomba yai atampa nge?
13
Basi ikiwa ninyi mlio waovu, mnajua kuwapa watoto wenu vitu vizuri, si zaidi sana Baba yenu aliye mbinguni atawapa Roho Mtakatifu wale wamwombao!”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options