Skip to content
Luka 1:78-79

Luka 1:78-79

78
kwa ajili ya wingi wa rehema za Mungu wetu, nuru itokayo juu itatuzukia
79
ili kuwaangazia wale waishio gizani na katika uvuli wa mauti, kuiongoza miguu yetu katika njia ya amani.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options