Skip to content
Luka 1:63-64

Luka 1:63-64

63
Akaomba wampe kibao cha kuandikia na kwa mshangao wa kila mtu akaandika: “Jina lake ni Yohana.”
64
Papo hapo kinywa chake kikafunguliwa na ulimi wake ukaachiwa, akawa anaongea akimsifu Mungu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options