Skip to content
Luka 1:59-60

Luka 1:59-60

59
Siku ya nane wakaja kumtahiri mtoto, wakataka yule mtoto aitwe Zekaria, ambalo ndilo jina la baba yake.
60
Lakini mama yake akakataa na kusema, “Hapana! Jina lake ataitwa Yohana.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options