Skip to content
Luka 1:57-58

Luka 1:57-58

57
Ulipowadia wakati wa Elizabeti kujifungua, alizaa mtoto mwanaume.
58
Majirani zake na jamii zake wakasikia jinsi Bwana alivyomfanyia rehema kuu, nao wakafurahi pamoja naye.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options