Skip to content
Luka 1:31-32

Luka 1:31-32

31
Tazama, utachukua mimba, nawe utamzaa mtoto mwanaume na utamwita jina lake Yesu.
32
Yeye atakuwa mkuu, naye ataitwa Mwana wa Aliye Juu Sana. Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Daudi baba yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options