Skip to content
Luka 1:29-30

Luka 1:29-30

29
Maria akafadhaishwa sana na maneno haya, akajiuliza moyoni, “Salamu hii ni ya namna gani?”
30
Ndipo malaika akamwambia, “Usiogope, Maria, umepata kibali kwa Mungu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options