Skip to content
Luka 1:14-16

Luka 1:14-16

14
Yeye atakuwa furaha na shangwe kwako, nao watu wengi watashangilia kwa sababu ya kuzaliwa kwake.
15
Kwa kuwa atakuwa mkuu mbele za Bwana, kamwe hataonja mvinyo wala kinywaji chochote cha kulevya, naye atajazwa Roho Mtakatifu hata kabla ya kuzaliwa kwake.
16
Naye atawageuza wengi wa wana wa Israeli warudi kwa Bwana Mungu wao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options