Skip to content
Walawi 7:32-34

Walawi 7:32-34

32
Paja la kulia la sadaka zako za amani utampa kuhani kama matoleo.
33
Mwana wa Aroni atoaye damu na mafuta ya sadaka ya amani ndiye atakayepewa paja hilo la kulia kuwa fungu lake.
34
Kutoka kwenye sadaka za amani za Waisraeli, mimi Mungu nimepokea kidari kile kilichoinuliwa pamoja na lile paja lililotolewa, nami nimevitoa kwa kuhani Aroni na wanawe kuwa fungu lao la kawaida kutoka kwa Waisraeli.’ ”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options