Skip to content
Walawi 7:26-27

Walawi 7:26-27

26
Popote mtakapoishi, kamwe msinywe damu ya ndege yeyote wala ya mnyama.
27
Ikiwa mtu yeyote atakunywa damu, mtu huyo lazima akatiliwe mbali na watu wake.’ ”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options