Skip to content
Walawi 25:48-49

Walawi 25:48-49

48
anayo haki ya kukombolewa baada ya kujiuza. Mmoja wa jamaa zake aweza kumkomboa:
49
Mjomba wake, au binamu yake, au yeyote aliye ndugu wa damu katika ukoo wake aweza kumkomboa. Au ikiwa atafanikiwa, anaweza kujikomboa mwenyewe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options