Skip to content
Walawi 21:2-3

Walawi 21:2-3

2
isipokuwa jamaa wake wa karibu, kama vile mama yake au baba yake, mwanawe au binti yake, ndugu yake,
3
au dada yake asiyeolewa ambaye anamtegemea kwa kuwa hana mume, kwa ajili ya hao aweza kujitia unajisi.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options