Skip to content
Walawi 21:18-20

Walawi 21:18-20

18
Hakuna mtu mwenye dosari yoyote awezaye kukaribia: hakuna mtu aliye kipofu au kiwete, au aliyeharibika uso au asiye na viungo kamili,
19
hakuna mtu mwenye mguu au mkono uliolemaa,
20
au mwenye kibiongo au aliyedumaa, au aliye na tatizo la macho, au aliye na uvimbe wenye usaha au majipu, au aliyehasiwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options