Skip to content
Walawi 19:33-35

Walawi 19:33-35

33
“ ‘Wakati mgeni anaishi pamoja nawe katika nchi yako, usimnyanyase.
34
Mgeni anayeishi pamoja nawe ni lazima umtendee kama mmoja wa wazawa wa nchi yako. Mpende kama unavyojipenda mwenyewe, kwa maana ulikuwa mgeni katika nchi ya Misri. Mimi ndimi Bwana Mungu wako.
35
“ ‘Usitumie vipimo vya udanganyifu unapopima urefu, kupima uzito, wala kupima wingi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options