Skip to content
Walawi 19:3-4

Wajibu wa Msingi: Familia na Ibada

Walawi 19:3-4
3
“ ‘Kila mmoja wenu ni lazima amheshimu mama yake na baba yake, na pia ni lazima kuzishika Sabato zangu. Mimi ndimi Bwana Mungu wenu.
4
“ ‘Msiabudu sanamu, wala msijitengenezee miungu ya shaba. Mimi ndimi Bwana Mungu wenu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options