Walawi 18:6-8
6
“ ‘Hakuna mtu awaye yote atakayemsogelea ndugu wa karibu ili kukutana naye kimwili. Mimi ndimi Bwana.
7
“ ‘Usimvunjie heshima baba yako kwa kukutana kimwili na mama yako. Yeye ni mama yako; usiwe na mahusiano kama hayo naye.
8
“ ‘Usikutane kimwili na mke wa baba yako; hiyo itamvunjia heshima baba yako.
Settings