Walawi 18:12-14
12
“ ‘Usikutane kimwili na dada wa baba yako; ni ndugu wa karibu wa baba yako.
13
“ ‘Usikutane kimwili na dada wa mama yako, kwa sababu ni ndugu wa mama yako wa karibu.
14
“ ‘Usimvunjie heshima ndugu wa baba yako, kwa kukutana kimwili na mke wake; yeye ni shangazi yako.