Skip to content
Walawi 16:29-31

Walawi 16:29-31

29
“Hili litakuwa agizo la kudumu kwa ajili yenu: Katika siku ya kumi ya mwezi wa saba ni lazima mfunge, wala msifanye kazi yoyote, iwe mzawa au mgeni anayeishi miongoni mwenu,
30
kwa sababu siku hii upatanisho utafanyika kwa ajili yenu ili kuwatakasa. Kisha mtakuwa safi mbele za Bwana kutokana na dhambi zenu zote.
31
Ni Sabato ya mapumziko, na lazima mfunge; ni agizo la kudumu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options