Skip to content
Walawi 11:41-43

Walawi 11:41-43

41
“ ‘Kila kiumbe kitambaacho juu ya ardhi ni chukizo; kisiliwe.
42
Msile kiumbe chochote kitambaacho juu ya ardhi, kiwe kitambaacho kwa tumbo lake, au kitambaacho kwa miguu minne au kwa miguu mingi; ni chukizo.
43
Msijitie unajisi kwa chochote katika viumbe hivi. Msijitie unajisi kwa viumbe hivyo au kutiwa unajisi navyo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options