Skip to content
Walawi 11:24-25

Walawi 11:24-25

24
“ ‘Mtajinajisi kwa wanyama hawa. Yeyote agusaye mizoga yao atakuwa najisi mpaka jioni.
25
Yeyote atakayebeba mizoga ya viumbe hawa ni lazima afue nguo zake, naye atakuwa najisi mpaka jioni.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options