Skip to content
Walawi 10:8-9

Walawi 10:8-9

8
Kisha Bwana akamwambia Aroni,
9
“Wewe na wanao msinywe mvinyo wala kinywaji kingine kilichochachuka wakati mwingiapo katika Hema la Kukutania, la sivyo mtakufa. Hili litakuwa Agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options