Skip to content
Walawi 10:10-11

Walawi 10:10-11

10
Ni lazima mtenganishe kilicho kitakatifu na kile kilicho cha kawaida, kati ya yaliyo najisi na yaliyo safi,
11
na lazima mwafundishe Waisraeli amri zote ambazo Bwana aliwapa kupitia Mose.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options