Maombolezo 3:59-63
59
Umeona, Ee Bwana, ubaya niliotendewa. Tetea shauri langu!
60
Umeona kina cha kisasi chao, mashauri yao yote mabaya dhidi yangu.
61
Ee Bwana, umesikia matukano yao, mashauri yao yote mabaya dhidi yangu:
62
kile adui zangu wanachonongʼona na kunungʼunikia dhidi yangu mchana kutwa.
63
Watazame! Wakiwa wameketi au wamesimama, wananidhihaki katika nyimbo zao.
Settings