Przejdź do treści
Maombolezo 3:24-26

Maombolezo 3:24-26

24
Nimeiambia nafsi yangu, “Bwana ni fungu langu, kwa hiyo nitamngojea.”
25
Bwana ni mwema kwa wale ambao tumaini lao ni kwake, kwa yule ambaye humtafuta;
26
ni vyema kungojea kwa utulivu kwa ajili ya wokovu wa Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options