Maombolezo 3:23-26
23
Ni mpya kila asubuhi, uaminifu wako ni mkuu.
24
Nimeiambia nafsi yangu, “Bwana ni fungu langu, kwa hiyo nitamngojea.”
25
Bwana ni mwema kwa wale ambao tumaini lao ni kwake, kwa yule ambaye humtafuta;
26
ni vyema kungojea kwa utulivu kwa ajili ya wokovu wa Bwana.