Skip to content
Maombolezo 3:21-24

Maombolezo 3:21-24

21
Hata hivyo najikumbusha neno hili na kwa hiyo ninalo tumaini.
22
Kwa sababu ya upendo mkuu wa Bwana, hatuangamii, kwa kuwa huruma zake hazikomi kamwe.
23
Ni mpya kila asubuhi, uaminifu wako ni mkuu.
24
Nimeiambia nafsi yangu, “Bwana ni fungu langu, kwa hiyo nitamngojea.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options