Maombolezo 3:11-14
11
ameniburuta kutoka njia, akanirarua na kuniacha bila msaada.
12
Amevuta upinde wake na kunifanya mimi niwe lengo kwa ajili ya mishale yake.
13
Alinichoma moyo wangu kwa mishale iliyotoka kwenye podo lake.
14
Nimekuwa kichekesho kwa watu wangu wote, wananidhihaki kwa wimbo mchana kutwa.